Akaunti ya hundi ya Bidii
Maelezo
Akaunti ya Bidii ni akaunti ya Hundi iliyobuniwa kwa ajili ya kuhudumia wafanya biashara wadogo na wa kati (Small and Medium Enterprises *SMEs*), kwa mtu mmoja mmoja(aliyejiajiri au aliyeajiriwa) anayejihusisha na biashara. Akaunti hii husaidia wateja wetu kukuza akiba zao.
Akaunti ya Bidii ni akaunti ya Hundi iliyobuniwa kwa ajili ya kuhudumia wafanya biashara wadogo na wa kati (Small and Medium Enterprises *SMEs*), kwa mtu mmoja mmoja(aliyejiajiri au aliyeajiriwa) anayejihusisha na biashara. Akaunti hii husaidia wateja wetu kukuza akiba zao.
- Akaunti hufunguliwa kwa kutumia sarafu ya nyumbani (TZS) pekee
- Kiwango cha chini cha kufungulia ni sh 50,000
- Unapata riba ukiweka akiba
- Akaunti hutumia TemboCardVisa au TemboCardMasterCard
- Unaweza kufanya miamala kutumia nia ya simu(SimBanking) na kwa nia ya mtandao(Internet banking)
- Kitabu cha hundi
- Cheque book
Faida utakazozipata ukifungua akaunti hii.
- Kufanya muamala hadi shilingi TZS 1,000,000 kwenye mashine za kutolea fedha (ATM) kila siku
- Kutumia akaunti yako katika mashine za kutolea fedha za ATM zaidi ya 500 ukiwa na VISA/MasterCard kote nchini
- Kufanya miamala ya fedha aina yoyote katika nchi unayoitembelea kote duniani.
- Ni rahisi kutumia hundi kufanya malipo
- Ni rahisi kufanya malipo kwa kutumia TemboCardVisa/TemboCardMasterCard kwa mawakala na kutimia mtandao(Internet)
- Akaunti hufunguliwa na zaidi ya mtu mmoja
- Unaweza kufanya miamala kutumia simu ya mkononi(SimBanking)na mtandao(Internet Banking)
Kwa mfanyabiashara binafsi
· Barua ya maombi
· Cheti za usajili wa biashara
· Taarifa ya msajili
· Leseni ya biashara
· Cheti za TIN namba
· Picha mbili za ukubwa pasipoti
· Kitambulisho (NIDA, kadi ya mpiga kura au Pasipoti)
Kwa makampuni
· Barua ya maombi
· Muhtasari wa bodi kufungia akaunti
· Nyaraka za usajili wa kampuni
· Leseni ya biashara
· Namba ya mlipa kodi
· Picha mbili za watia sahihi na vivuli vya vitambisho vinavyokubalika
Viambatanisho vya ziada
- Kwa makampuni ya kigeni:
- Cheti cha msajili wa makampuni
- Cheti cha usajili kutoka kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC)
Unaweza kupendezwa na
Akaunti ya Hodari
Iliyoundwa ili kutumikia mahitaji ya miamala kwa wateja wote rasmi na isiyo rasmi kwa kuangalia pendekezo muhimu la thamani ya ujumuishaji, ufikiaji na urahisi.
Akaunti ya Fahari Kilimo
Akaunti iliyoundwa kwajili ya wakulima kuwawezesha kuokoa na pia kusaidia katika shughuli za kila siku kwenye kilimo.
Fahari Kilimo Current Account
An account designed for cooperatives, farmer's association and farmer's groups