Mafanikio ya CRDB na biashara mbali mbali Tanzania

By: Niels Malangalila | Blog | October 5, 2021 09:00

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki yetu akiongea kuhusu mafanikio tuliyoyapata mwaka 2020, amesema "Katika kipindi cha mwaka 2020, tulipata mafanikio makubwa, tukitumia vizuri fursa zinazojitokeza sokoni. Ninayo furaha kuwajulisha kuwa pamoja na changamoto zilizokuwepo, mikakati tuliyoiweka ilisaidia kuendana na mabadiliko, na hivyo kusaidia kuimarisha utendaji wetu kwa haraka. La muhimu zaidi, nawashukuru kwa moyo wote wateja wetu kwa kutupa nafasi ya kipekee ya kuwahudumia. Nitoe shukrani nyingi kwa wanahisa wetu, kwa kutuamini na uwekezaji wenu na kwa kutupa nafasi ya kuwafanyia kazi"

PamojaHatuaKwaHatua

What's new?

...
BLOG
CRDB Bank, BPIFrance grants the Government of Zanzibar TZS 115 billion for a Land Management System

...

Read More
...
BLOG
Prof. Mori: CRDB Bank ready to support investors driving growth in East Africa

...

Read More
...
BLOG
Baada ya maboresho ya mfumo Benki ya CRDB yawapika mawakala ikizindua huduma ya Tokenization

...

Read More