Mafanikio ya CRDB na biashara mbali mbali Tanzania

By: Niels Malangalila | Blog | October 5, 2021 09:00

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki yetu akiongea kuhusu mafanikio tuliyoyapata mwaka 2020, amesema "Katika kipindi cha mwaka 2020, tulipata mafanikio makubwa, tukitumia vizuri fursa zinazojitokeza sokoni. Ninayo furaha kuwajulisha kuwa pamoja na changamoto zilizokuwepo, mikakati tuliyoiweka ilisaidia kuendana na mabadiliko, na hivyo kusaidia kuimarisha utendaji wetu kwa haraka. La muhimu zaidi, nawashukuru kwa moyo wote wateja wetu kwa kutupa nafasi ya kipekee ya kuwahudumia. Nitoe shukrani nyingi kwa wanahisa wetu, kwa kutuamini na uwekezaji wenu na kwa kutupa nafasi ya kuwafanyia kazi"

PamojaHatuaKwaHatua

What's new?

...
BLOG
CRDB Bank Secures TZS 790 Billion investment in Mahenge Graphite Mining Project

...

Read More
...
BLOG
CRDB Bank Foundation launches a campaign to connect small-scale entrepreneurs in the country with the IMBEJU program

...

Read More
...
BLOG
Nsekela meets with religious leaders during the launch of the Sadaka Account

...

Read More