Wewe ni mfanya biashara?
Pokea malipo kutoka mtandao yote na mabenki yote
JINSI YA KUSHINDA
Fufua Akaunti au Fanya Miamala, Ushinde hadi Tsh 200,000 kila Wiki!
Haina kipengele, kipengele labda uwe wewe tu Swahiba!
Tunatoa hadi Tsh 200,000/- kwa washindi 50 kila wiki
Ili kushinda, fanya mojawapo ya haya: Fufua akaunti yako ya Benki ya CRDB
Fanya miamala mitano au zaidi yenye thamani zaidi ya Tsh 50,000/-
Tumia mojawapo ya huduma hizi kufanya miamala:
- Simbanking
- Tembocard VISA
- CRDB Wakala