Niamoja
Maelezo
Fanya zaidi, pamoja.
Tunawapa ushirikiano na kuhakikisha usalama unaorahisisha ukusanyaji na usimamizi wa fedha kwa vikundi rasmi na visivyo rasmi mfano VICOBA, vikundi vya kifamilia na vya kwenye mitandao ya kijamii. Fungua akaunti leo mkiwa na kiwango chochote kwanzia TSH
20000 tu!
Fanya zaidi, pamoja.
Tunawapa ushirikiano na kuhakikisha usalama unaorahisisha ukusanyaji na usimamizi wa fedha kwa vikundi rasmi na visivyo rasmi mfano VICOBA, vikundi vya kifamilia na vya kwenye mitandao ya kijamii. Fungua akaunti leo mkiwa na kiwango chochote kwanzia TSH
20000 tu!
6 great features of our Niamoja Account
-
Can be opened and operated in TZS Only
-
Initial Opening Balance - TZS 20,000
-
No minimum Operating Balance
-
Earns Interest on deposits
-
No transaction fees or Monthly Fee
-
Minimum number of group members is 2, with no maximum
6 great reasons to open a Niamoja Account
-
No Monthly maintenance fees
-
No withdrawal charges
-
Real time collections (Group) and payments (Members) via SimBanking, agents, branched, SimAccount and MNOs
-
Open to registered and non-registered groups
-
Eligible to request for cheque
-
Earns interest on deposited funds
To open an account:
-
Group meeting minutes authorizing the opening and operating directives of the account
-
Introductory letter from the Council or local government (for unregistered/informal groups) OR the Certificate of registration (for registered /formal groups)
-
Group Constitution
-
The signatories must present a valid form of identification i.e. National Identity (NIDA), Zanzibar identification card, Voter's ID, Passport and Driver’s license
-
2 Passport size photos for each signatory
Unaweza kupendezwa na
Akaunti ya hundi
Akaunti ya hundi ya benki ya CRDB ni akaunti inayotumia njia rahisi mbalimbali za miamala kwa ajili ya kutimiza malengo yako ya kibenki
Akaunti ya Malkia
Akaunti ya Malkia ni akaunti ya wanawake iliyo na lengo la kufanikisha mipango yako ya kuweka akiba kwa ajili yako.
Akaunti ya Akiba
Ukiwa na akaunti ya akiba, utaweza kuweka akiba itakayokusaidia kwa ajili ya mahitaji yako ya baadae
Akaunti ya Junior Jumbo
Akaunti hii ni mahsusi kwa wazazi au walezi kuweza kuwawekea akiba watoto wao.
Akaunti ya Scholar
Akaunti ya akiba iliyoundwa kwa wanafunzi kuwawezesha kuendesha mahitaji yao ya kifedha na kujikimu wakiwa chuo kikuu au shuleni.
Akaunti ya Salary
Hii ni Akaunti ya akiba inayowezesha malipo yako ya mshahara kutoka kwa mwajiri wako ambaye ni kampuni au taasisi na ni mteja wa CRDB Bank.
Akaunti ya Teen
Akaunti maalum inayofunguliwa na kuendeshwa na mzazi/mlezi kwa ajili ya kijana wake mwenye umri kuanzia miaka 13 hadi 17
Akaunti ya Pensheni
Akaunti hii ya akiba ni maalum kwa ajili ya wastaafu inakuwezesha kupokea malipo ya pensheni ya mkupuo na ya kila mwezi na mapato mengine pia
Akaunti ya Simba
Fungua akaunti maalum ya Simba ambayo itakuwezesha kuweka akiba, kufanya malipo mbalimbali yakiwemo ya ushabiki na huduma nyingine za kibenki.
Akaunti ya Yanga
Fungua akaunti maalum ya Yanga ambayo itakuwezesha kuweka akiba, kufanya malipo mbalimbali yakiwemo ya ushabiki na huduma nyingine za kibenki.