Hisa

CRDB Bank Plc (Benki) ni Kampuni ya Umma yenye hisa, iliyoanzishwa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1996 chini ya Sheria ya Makampuni, Sura ya 212 Sheria Namba 12. Benki iliorodheshwa kwenye Soko la Hisa la Dar Es Salaam (DSE) tarehe 17 Juni 2009.

Unaweza kupendezwa na