Mkopo wa Wafanyakazi

Maelezo

Kopa, ujiendeleze.

Je, umeajiriwa Serikalini au kwenye sekta binafsi na unahitaji mkopo ili kutimiza mipango yako mbalimbali kama vile kuanzisha biashara, kujiendeleza kielimu, kununua gari n.k.? Tupo kwa ajili yako!

Pata Mkopo wa Mfanyakazi wa hadi TZS 100 Milioni ndani ya saa 24 na viwango nafuu vya riba hadi asilimia 14 na muda wa marejesho wa hadi miaka 7.

Sababu 6 za kuchukua Mikopo yetu ya Wafanyakazi

  • Mikopo inatolewa ndani ya masaa 24 kukuruhusu kutimiza mipango yako kwa wakati
  • Uhuru wa kuchagua kiwango cha riba kati ya 14% -16% 
  • Muda mrefu wa marejesho hadi miaka 7 
  • Huhitaji dhamana 
  • Mkopo una bima ya maisha
  • Tunanunua mikopo kutoka benki zingine na HESLB
  • Unaweza kuongeza wakati wowote utakapohitaji

Masharti ya Mikopo yetu ya Wafanyakazi

  • Kiasi cha chini ni TZS. 1,500,000 na kiwango cha juu ni TZS. 100,000,000
  • Kulingana na kukamilika kwa maombi, mkopo utapewa ndani ya masaa 48 ya siku za kazi.
  • Kiwango cha riba ni 16% p.a.
  • Ada nyingine ni pamoja na ada ya uwezeshaji wa mkopo 1.5% ya kiwango cha mkopo na ada ya bima 1% ya kiwango cha mkopo (Zitazolipwa kulingana na kanuni ya kupunguza)
  • Mkopo lazima ulipwe ndani ya miezi 84. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
  • Unaweza kuongeza mkopo na kukopa mara nyingi utakavyo katika uwiano wa mkopo wako
  • Malipo ya mapema yanaruhusiwa na mteja mara tu mteja atakapoijulisha benki kwa maandishi.
  • Maombi ya mkopo wa kibinafsi hufanywa kwenye matawi au CRDB Wakala

 To apply, you need..

  • To be an employee of the Government or selected private institutions aged between 18 – 60 years employed under contract or permanent terms.
  • Your salary Slips for the last three months
  • Your identity Proof documents i.e Employee ID and valid government-issued IDs
  • An introduction letter from your employer.
  • An appointment letter and confirmation letter.
  • Your employment contract for renewal.

Maswali

Utapokea SMS inayothibitisha kuwa mkopo wako tayari umehifadhiwa kwenye akaunti yako. Timu yetu ya huduma kwa wateja inaweza kukujulisha kupitia simu.

Hapana, wateja wanapaswa kuomba mara baada ya kuwa na mkataba wa makubaliano.

Kwa bahati mbaya, huwezi kukopa zaidi ya kiwango cha juu.

Malipo hayo yanatakiwa kulipwa kila mwezi baada ya kulipwa mshahara.

Ndio, kwa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya mshahara kisha uiagize benki kupitia barua nia yako ya kulipa mkopo.

Kwa bahati mbaya, hii hairuhusiwi.

Kwa bahati mbaya hii haiwezekani kwa mikopo isiyo na dhamana.

Ndio inahitajika kuelewa vigezo na masharti ili kujua vizuri Bidhaa. Vile vile utapewa vigezo na masharti wakati wa mchakato wa maombi ya mkopo.

Unaweza kupendezwa na